Monday, June 22, 2009

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO AMBAPO WIKI HII LILIAN LIUNDI NA VENANT WILLIAM (TGNP) WATAWEZESHA MAJADILIANO YA WANAGDSS KUHUSU:

MAPITIO YA NUSU MWAKA YA GDSS; JANUARI-JUNI 2009!

LINI: JUMATANO TAREHE 24 JUNI 2009

Muda: SAA 9:00 – 11:00 JIONI

MAHALI: Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni

WOTE MNAKARIBISHWA!!

No comments: