Tuesday, January 19, 2010

TRL kuvunjwa mwezi ujao,Serikali kujitwisha mzigo wa kuendesha reli

SERIKALI imesema mkataba kati yake na Kampuni ya Rites kutoka China inayoendesha Kampuni ya Reli (TRL), utavunjwa mwezi ujao.

Uamuzi huo unatokana na kile kilichoelezwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu, Omari Chambo, kuwa ni migogoro inayoikabili kampuni hiyo iliyotokana na uongozi mbovu.

Katibu Mkuu huyo alitoa taarifa hiyo jana Dar es Salaam alipokutana na Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali, chini ya uenyekiti wa Mbunge wa Pangani, Mohamed Rished (CCM).

Rished ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo ndiye aliyeanza kuhoji sababu za serikali kuwa na kigugumizi cha kuvunja mkataba wa TRL.

Baada ya Chambo kujibu kwamba wako katika mchakato wa kuuvunja, Mbunge wa Viti Maalumu, Rosemary Kirigini (CCM) alisisitiza kwa kutaka kamati ielezwe muda kamili uliopangwa kutekeleza uamuzi huo.

Chambo alijibu kwamba utavunjwa mwezi ujao na akafafanua sababu za kutofanya haraka kutekeleza hilo. Alisema sababu kubwa ni kutokana na vipengele vya kisheria ambavyo kama wangeharakisha, serikali ingeweza kuingia hasara ya mamilioni ya fedha.

Alisema kwa sasa, wizara imekaa pamoja na Mwanasheria Mkuu na idara nyingine na kwamba muda mfupi ujao watatoa taarifa kamili.

Mbunge wa Nkasi, Ponsiano Nyami (CCM), alihoji sababu za wanasheria nchini kutoweka vipengele vizuri vya sheria kabla ya kuingia mkataba. Chambo alisema baada ya mkataba kuvunjwa, wataingiza vipengele vigumu vya sheria.

Chambo alipoulizwa na gazeti hili ni namna gani baada ya mkataba kuvunjwa serikali itatoa huduma kwenye Reli ya Kati iliyokuwa ikihudumiwa na TRL, hakupenda kufafanua kwa undani zaidi ya kusema suala hilo liachwe hivyo.

Hata hivyo, wiki iliyopita, Naibu Katibu Wizara ya Fedha na Uchumi, John Haule alipokutana na Kamati hiyo, alikaririwa na baadhi ya vyombo habari akisema mazungumzo kuhusu mkataba wa TRL yanaendelea kuelekea kwenye kuuvunja na kwamba serikali itatafuta mwekezaji mwingine au kuendesha yenyewe.

Mkurugenzi Mtendaji wa TRL, Hundi Chaudhary alipoulizwa na gazeti dada la Daily News kuhusu maoni yake juu ya uamuzi huo, alisema hana la kusema.

Tangu mwaka 2006, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipokodishwa kwa mwekezaji wa kigeni na kuzaa TRL kwa ajili ya kutoa huduma kwenye Reli ya Kati, kumekuwepo migogoro isiyoisha baina ya menejimenti na wafanyakazi.

Licha ya migogoro, vile vile utendaji wa kampuni hiyo umekuwa ukinyooshewa kidole na watu wa kada mbalimbali wakiwemo wabunge ambao wamekuwa wakishinikiza mkataba huo uvunjwe mara moja kutokana na kukosekana ufanisi katika kuendesha reli hiyo.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ni miongoni mwa walioonesha wasiwasi juu ya utendaji wa kampuni hiyo chini ya uongozi wa Kampuni ya Rites ya India.

Wakati huo huo, Katibu Mkuu huyo aliiambia kamati kuwa serikali inaendelea kutafuta mbia atakayeendesha Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL).

Alisema wapo watano walioonesha nia ya kuendesha kampuni hiyo na wako katika mchakato wa kupata mmoja. Kwa mujibu wa Chambo, kampuni hiyo ina ndege tatu.

Akielezea tathmini ya uharibifu wa miundombinu uliotokana na mafuriko mkoani Morogoro na Dodoma, Katibu Mkuu huyo alisema maeneo 18 yameainishwa kuwa yaliharibika na kwamba zinahitajika takribani Sh bilioni sita.

Hata hivyo, alisema zinahitajika Sh bilioni 10 kwa ajili ya kukabili uharibifu utakaoendelea. Alisema taarifa zilipelekwa kwa Waziri Mkuu na ujenzi utaanza mara moja.

3 comments:

Anonymous said...

We [url=http://www.onlineroulette.gd]casino online[/url] be subjected to a corpulent library of utterly freed casino games championing you to monkey tricks opportunely here in your browser. Whether you pine for to practice a provisions round strategy or honest attempt elsewhere a insufficient modern slots before playing for unfeigned money, we procure you covered. These are the claim verbatim at the same time games that you can treat cavalierly at veritable online casinos and you can join in them all for free.

Anonymous said...

top [url=http://www.001casino.com/]free casino[/url] brake the latest [url=http://www.casinolasvegass.com/]casino las vegas[/url] manumitted no store hand-out at the leading [url=http://www.baywatchcasino.com/]www.baywatchcasino.com
[/url].

Anonymous said...

Beats By Dre CheapRN: I was secretly hoping for a song from "Sweeney Todd." I appreciated how nary a single staffer pushed product on me. I was a tiny bit freaked when I saw that my personal grooming procedure was a sideshow for some H bag-toting onlookers. That doesn't [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]mont blanc 2012[/url] happen at my massage therapist's office.. Place your printer on a shady area. Give it space as well. Putting it near your computer or other appliances [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]mont blanc map[/url] can also dry up your printer's ink cartridge. If the builder of your transmission has already provided the required fourth gear pressure switch and self grounding solenoid, you will simply need our external wiring harness to complete the set up,Beats By Dre Cheap,Hollister Outlet. This kit includes everything necessary on the exterior of the transmission. [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]mont blanc meisterstuck fountain pen[/url] This kit taps into your vehicles existing brake light circuit to disable converter clutch lock up whenever the brakes are applied. Check the compressor to see if it [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]mont blanc barracuda[/url] is functioning and see if there is slack on the belt. If the belt feels loose then replace it with a new one. Check again to see if everything feels right inside the vehicle.. A standard design of wooden garden gate can look beautiful but the simple fact that it wasnt designed specifically for your garden means that it will not fit in with every feature of your garden,Cheap Dr Dre Beats. Generic wooden gates that may be hand made but are still styled for mass production cannot possibly take in the different aspects of every garden and make a universal design. For instance you garden furniture, you may have a wonderfully [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]chamonix[/url] carved picnic bench that has a distinctive style to it. The problem is that you're terrified of losing him. You've come to love him a very great deal,Hollister Clothing, and you can't imagine life without him. What are you going to do? Just sit there and wait for the other shoe to drop, which you've convinced yourself it will,Hollister Jeans. Wealth and privilege quickly made their presence felt. When her roommate, early in the year, told her she was going out to get "a cheap school bag" and came home with one that cost $80, Sparano's jaw dropped,canada [url=http://www.montblancpensdiscount.co.uk]mont blanc pen[/url] goose. She found herself turning down invitations to go out to restaurants with her friends because she couldn't afford it. The Fourth Key is, "Fitness." We can exercise with our significant other and children - "the family that exercises together

http://www.cheapmontblancpenonline.co.uk

Our updates Recent articles:
[url=http://www.3gsha.com/bbs/forum.php?mod=viewthread&tid=299384]beats headphones salebeats on sale スープラインディNS aortic saddle[/url]
[url=http://www.antant.jp/antinfo/2011/06/post.html#comments]Dre Headphones bcpel oakleynewzealandsale[/url]
[url=http://www.mcddor-pics.com/blogs/]montblanc pens Michael Kors Handbags Outlet michael kors pyt[/url]
[url=http://vote-nola.org/node/16#comment-145748]mont blanc uk смотреть онлайн вороны продолжение[/url]
[url=http://www.aerovisionus.com/node/6#comment-21760]chanel店舗 iakr cheap jerseys uucf[/url]
[url=http://sysujie.com/bbs/forum.php?mod=viewthread&tid=13520]montblanc meisterstuck Kane needs grad students not to bring cards[/url]