Wednesday, August 19, 2009

Mtoto wa kike


Mtoto huyu anatakiwa akitoka shuleni tu achote maji na kufanya shughuli zingine za nyumbani kama kufua nguo za zake, za kaka zake na kisha apike, atasoma saa ngapi?

Picha na:
mjengwa.blogspot.com

No comments: