Tuesday, August 4, 2009

JK azindua Programu mpya ya Kilimo kwanza


JK akimkabidhi Mwenyekiti wa taasisi ya Wanawake na Maendeleo WAMA Mama Salma Kikwete kijitabu chenye mwongozo wa sera ya mpya ya kilimo nchini jana katika viwanja vya maonyesho ya Kilimo huko Nzuguni,nje kidogo ya mji wa Dodoma.Rais Kikwete alifungua rasmi maonyesho hayo

No comments: