Monday, August 3, 2009

JK na Msajili wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama kuu wapya


JK akila pozi na Majaji wa Mahakama Kuu 10 wapya na Msajili wa Mahakama ya Rufaa baada ya kuwaapisha jioni hii Ikulu Dar.
Toka shoto mbele ni Wah. Majaji Hamisa Hamisi Kalombola,Fatuma Hamisi Massengi, JK, Pelaggia Barnabas Khaday na Frederica William Mgaya.

Wengine nyuma toka shoto ni Msajili wa Mahakama ya Rufaa Francis Katabazi Mutungi, Wah. Majaji Ferdinand Wambali, Eliamani Mbise, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi,Sekela Moshi,Moses Gunga Mzuna and Prof.Ibrahim Hamisi Juma. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.

1 comment:

Anonymous said...

Her ladyship Justice Fredrica Mgaya!
congratulations!! Wangeci