Friday, October 2, 2009

TAARIFA YA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Jaji Kiongozi Mstaafu Amiri Manento, atazungumza na waandishi wa habari mnamo tarehe 04. 10. 2009 (Jumapili), Haki House, Barabara ya Luthuli, jijini Dar es Salaam saa 5.00 asubuhi.

Mazungumzo hayo yatahusu ziara ya utafiti na uchunguzi wa hadharani ikiwemo uelimishaji umma kuhusu uvunjwaji wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa makundi yanayohitaji ulinzi maalum (k.m. wanawake, watoto na walemavu) katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

No comments: