Thursday, October 22, 2009

Albino mwingine auawa Geita

Kunako majira ya saa 2:30 usiku oktoba 20 mwaka huko wilayani Geita katika kijiji cha mwamwilila kuna taarifa watu wawili wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa Elikana kaswahili na kumshambulia kwa mapanga na kisha kumkata mapanga mwanae Gasper Elikana (10) na kumuua kisha kukata mguu na kuondoka nao.

kaimu kanada wa polisi elias kalinga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kufafanua kuwa jeshi lake limetangaza dau la milioni moja kwa atakaesaidia kukamatwa kwa waalifu hao.

No comments: