Thursday, October 15, 2009

Hatimaye TGNP washinda kesi iliyodumu mahakamani kwa miaka 11






Wafanyakazi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) wakesheherekea ushindi wa hukumu ya kesi ya jengo lao mara baada ya kurejea kutoka mahakama kuu ya Tanzania ambapo jaji alisoma hukumu ya kesi majira ya saa tatu asubuhi iliyodumu mahakamani kwa takribani miaka 11.

No comments: