Friday, April 17, 2009

Wanazuoni katika wiki ya Mwalimu Nyerere


Kushoto ni Prof.Saida Othman, katikati ni Prof.Marjorie Mbilinyi na kulia ni Prof.Amandina Lihamba. Nao walijumuika pamoja na halaiki ya wanazuoni katika wiki ya Mwalimu Nyerere ukumbi wa Nkrumah Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

No comments: