Tuesday, April 28, 2009

A to Z Kugawa Vyandarua kwa Watoto.

Tarehe 25/04/2009 ilikuwa ni siku ya maralia duniani. Siku hii ambayo huadhimishwa kila mwaka kukumbuka madhara yanayosababishwa na maralia, huambatana na shughuli mbalimbali kutoka kwa wadau wanaopambana na ugonjwa huu. Hapa nchini, kampuni ya kutengeneza vyandarua ya A to Z ya mjini Arusha inatarajiwa kugawa vyandarua vya mbu kwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano nchi nzima. Tunapongeza harakati kama hizi zenye lengo la kutoa nafuu kwa wananchi walio wengi.
Soma zaidi habari hii kwa kubofya hapa.

Habari zaidi kuhusiana na Siku ya Malaria duniani bofya hapa
www.worldmalariaday.org
http://www.rbm.who.int/worldmalariaday/index.html

No comments: