Tuesday, February 22, 2011

Semina (GDSS) ya Wiki hii

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII TCIB(Kituo ChaTaarifa Kwa Wananchi Tanzania (Deus Kibamba) WATAWASILISHA

MADA: MATOKEO YA UTAFITI JUU YA - KWA NINI UCHAGUZI WA 2010 ULIKUWA NA IDADI NDOGO YA WAPIGA KURA KULIKO MWAKA WOWOTE TANGU UHURU?
Lini: Jumatano Tarehe 23 Februari, 2011
Muda: Saa 09:00 – 11:00 Alasiri

MAHALI: Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni
WOTE MNAKARIBISHWA

No comments: