Muungano wa Wanaharakati wa Jinsia na haki za Binadamu FemAct watembelea wahanga wa Mabomu Gongolamboto
Bi Gloria Shechambo kutoka TGNP akichukua maelezo kutoka kwa muuguzi wa wodi ya wahanga wa mabomu katika hospitali ya manispaa ya Temeke
Wana-FemAct wakimpa pole majeruhi wa mabomu ya Gongolamboto
Mtoto aliyetambulika kwa jina moja tu la MWITA ambaye licha ya kuletwa hospitali akiwa hajitambui amepotezana na wazazi wake na bado amepoteza kumbukumbu kuhusu yeye mwenyewe na hata wazazi wake
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakimhoji Mkurugenzi mtendaji wa TGNP Usu Mallya mara baada ya kuwatembelea wahanga wa mabomu.
Mahojiano
Wana-FemAct wakiifariji familia iliyompoteza mpendwa wao mmoja kufuatia kulipuka kwa mabomu
Ndugu wa marehemu wakitoa shukurani zao kwa wana-FemAct kwa kuwatembelea na kuwafariji
FemAct wakipelka msibani maji na juisi kwa familia iliyopoteza watu wanne (Mke na watoto wawili) kufuatia kulipuka kwa mabomu Gongo la mboto
FemAct
Waombolezaji pamoja na Mheshimiwa Meya wa Manispaa ya ILALA Mhe. Jerry Slaa
Mstahiki Meya Jerry Slaa akiwapa pole familia iliyopoteza watu watatu kufuatia milipuko ya mabomu Gongolamboto
Msiba wa watu watatu
FemAct wakipata maelezo kutoka kwa afisa wa serikali mara baada ya kutembelea eneo hili la shule ya msingi mzambarauni ambalo ndiko itakapokuwa kambi ya watoto iliyohamishwa kutoka uwanja wa sabasaba
No comments:
Post a Comment