Monday, February 21, 2011

Muungano wa Wanaharakati wa Jinsia na haki za Binadamu FemAct watembelea wahanga wa Mabomu Gongolamboto

Bi Gloria Shechambo kutoka TGNP akichukua maelezo kutoka kwa muuguzi wa wodi ya wahanga wa mabomu katika hospitali ya manispaa ya Temeke

Wana-FemAct wakimpa pole majeruhi wa mabomu ya Gongolamboto


Mtoto aliyetambulika kwa jina moja tu la MWITA ambaye licha ya kuletwa hospitali akiwa hajitambui amepotezana na wazazi wake na bado amepoteza kumbukumbu kuhusu yeye mwenyewe na hata wazazi wake



Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakimhoji Mkurugenzi mtendaji wa TGNP Usu Mallya mara baada ya kuwatembelea wahanga wa mabomu.



Mahojiano




Wana-FemAct wakiifariji familia iliyompoteza mpendwa wao mmoja kufuatia kulipuka kwa mabomu





Ndugu wa marehemu wakitoa shukurani zao kwa wana-FemAct kwa kuwatembelea na kuwafariji






FemAct wakipelka msibani maji na juisi kwa familia iliyopoteza watu wanne (Mke na watoto wawili) kufuatia kulipuka kwa mabomu Gongo la mboto







FemAct



Waombolezaji pamoja na Mheshimiwa Meya wa Manispaa ya ILALA Mhe. Jerry Slaa


Mstahiki Meya Jerry Slaa akiwapa pole familia iliyopoteza watu watatu kufuatia milipuko ya mabomu Gongolamboto



Msiba wa watu watatu







FemAct wakipata maelezo kutoka kwa afisa wa serikali mara baada ya kutembelea eneo hili la shule ya msingi mzambarauni ambalo ndiko itakapokuwa kambi ya watoto iliyohamishwa kutoka uwanja wa sabasaba














No comments: