Tuesday, May 5, 2009

MENGI NAYE AMJIBU ROSTAM



Picha ya chini:Mojawapo ya nyaraka ambazo mawakili wa mengi na IPPedia wamezisoma leo.

Picha ya juu:Wakili Michael Ngalo wa Ngalo & Company Advocates akisoma baadhi ya vielelezo vya mteja wake, Mwenyekiti wa IPP Reginald Mengi, kudai kwamba tuhuma zote alizomwagiwa na Mbunge wa Igunga Mh. Rostam Aziz (kama inavyoonesha kwenye posti ya hapo chini) si kweli katika mkutano wa waandishi wa habari uliomalizika sasa hivi hoteli ya movenpik, Dar. Shoto ni mwanasheria wa makampuni ya IPP, Mh Agapirus Nguma ambaye pamoja na Mh. Ngalo walimwakilisha Mengi kwenye mkutano huo.

No comments: