Monday, September 29, 2008

Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS)

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP)
Unakaribishwa Katika Mfululizo wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS)
ambapo:
Matina H. Mbelwa Wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania)

Atawasilisha Mada Kuhusu:

JICHO LA SHERIA KUHUSU UZEMBE KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NCHINI.

LINI: Jumatano tarehe 8 Octoba 2008
MUDA: Saa 9:00 - 11:00 Jioni.

Mahali: Viwanja Vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na ChuoCha Usafirishaji, Mabibo Sokoni.

WOTE MNAKARIBISHWA
.

No comments: