Wednesday, September 17, 2008

Siasa za Afrika tunaelekea wapi?

Hivi miaka ya karibuni kumekuwa na tabia ya watawala kuendesha chaguzi,wakishindwa wanapika matokeo,kung'ang'ania madaraka,suluhu yake eti inakuwa serikali mseto vyafaa kukemewa kwa kinywa kipana.Ilianzia zanzibar(ingawa hadi leo hawaafikiana).Ikaja kenya,leo zimbabwe.

Nani anajua kesho itakuwa zamu ya nchi ipi? Afrika tutafika kwa mtindo huu?

No comments: