Friday, September 5, 2008

Semina za Maendeleo na Jinsia (GDSS)

Semina za Maendeleo na Jinsia (GDSS)

Unakaribishwa katika mfululizo wa semina za kila wiki ambapo wiki hii Gemma Akilimali wa TGNP atawezesha kuhusu:

Uchambuzi na Maoni ya Wasomaji kwa Machapisho ya:

Hali Halisi Ya Kijinsia Tanzania na Tathmini ya Miaka 10 Baada Ya Beijing

LINI: Jumatano 10 /9/2008
Muda: Saa 9:00 – 11:00 Jioni

MAHALI: Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu Na Chuo Taifa Chuo cha Usafirishaji Mabibo Sokoni

WOTE MNAKARIBISHWA!

No comments: