wanaofundisha katika shule hizi- maarufu kama walimu wa yebo-yebo au Vodafaster kwa sababu ya maandalizi yao ya haraka haraka. Pili aligusi juu ya upatikanaji wa vitabu na dhaan zingine za kujifunzia, pamoja na mazingira ambapo shule hizi zinapatikana.
Je shule hizi za kata zinaweza kuleta maendeleo ya elimu yalikusudiwa? Wadau mnaonaje? Nini kifanyike kuboresha mazingira ya elimu katika shule hizi za kata?
1 comment:
Kwanza napenda wapongeza kwa umakini wenu na mirejesho mnayotupa kupitia glob yetu ya GDSS.Pia nashukuru kwa kuuweka mchangowangu kama nilivyochangia.
Ila inatakiwa hamasa iongezeke zaidi kwa wana-GDSS kuupitia mtandao wetu huu ili kuwaunga mkono kwa kazi yenu nzuri mnayofanya.
Hashim S.Luanda,GDSS MEMBER.
Post a Comment