Wednesday, May 26, 2010

UZINDUZI WA ILANI YA UCHAGUZI YA WAPIGA KURA 2010-2015

Mtandao wa Jinsia Tanzania
na


FemAct


Wanayo furaha kukualika Katika Uzinduzi wa Ilani ya Uchaguzi ya Wapiga Kura 2010-2015 na Jopo la Majadiliano tarehe 2 Juni 2010, saa 3:00 asubuhi hadi Saa 10.00 Jioni katika viwanja vya TGNP Mabibo Dar es Salaam.


Mada Kuu

"Rasilimali za Uchaguzi ziwanufaishe wanawake na makundi yaliyoko pembezoni"


Wasiliana nasi: 022 2443204/450, 255 754 784050 au info@tgnp.org

No comments: