Friday, February 6, 2009

Sakata La Rada: Chenge Ametajwa, Hatushituki!


ZIMETUFIKIA habari za Makachero wa Uingereza kitengo cha Makosa Makubwa ya Jinai (SFO) kubaini maovu zaidi ya kifisadi anayotuhumiwa kuyafanya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Miundo Mbinu Andrew Chenge.
Kwamba Chenge ameongopa chini ya kiapo juu ya fedha, dola za Kimarekani miloni moja na nusu alizoweka kwenye akaunti yake kisiwani New Jersey. Soma zaidi;

http://www.raiamwema.co.tz

No comments: