Monday, February 9, 2009

KASHFA YA RADA: Chenge na Dr. Rashid wanasubiri nini?



Wanaharakati,

Siku chache zilizopita makachero wa Uingereza wa kuchunguza makosa mazito SFO walitoa ripoti yao kwa mwanasheria mkuu wa serikali ya Tanzania kuelezea matokeo ya uchunguzi wao waliofanya ambao wamebaini kuwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali wakati huo Mheshimiwa Andrew Chenge(MB) na Dr. Idris Rashid (Gavana wa zamani wa Benki kuu ya Tanzania) ambaye sasa ni Mkurugenzi mkuu wa shirika la umeme nchini TANESCO walihusika moja kwa moja na sakata zima la ununuzi wa RADA na wanatuhumiwa kwa ulaji mkubwa wa rushwa.

Vigogo hawa wanasubiri nini?

No comments: