Wednesday, May 2, 2012

SEMINA: Changamoto za Sheria Kandamizi Kwa Wanawake Katika Muktadha wa Katiba



SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

 UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII BAHATI SEMWANO; TAHURIFO, ATAWASILISHA:

MADA: Changamoto za Sheria Kandamizi  Kwa Wanawake Katika Muktadha wa Katiba   
Lini: Jumatano Tarehe 02 May, 2012

Muda: Saa 09:00 Mchana – 11:00 Jioni

MAHALI:  Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni  
WOTE MNAKARIBISHWA

No comments: