Tuesday, May 29, 2012

Mchakato wa Katiba Mpya:Je, Masuala ya Wanawake na Makundi Yaliyoko Pembezoni Yatabebwa?



SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

 UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII Deus Kibamba/TCIB  ATAWASILISHA

MADA: Mchakato wa Katiba Mpya:Je, Masuala ya Wanawake na Makundi Yaliyoko Pembezoni Yatabebwa?   

Lini: Jumatano Tarehe 30 Mei, 2012

Muda: Saa 09:00 Alasiri – 11:00 Jioni

MAHALI:  Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni  


WOTE MNAKARIBISHWA

No comments: