Thursday, December 10, 2009

Tafakuri Jadidi!

je, unafikiri katika miaka minne ya utawala wa Rais Kikwete ameweza kukidhi matarajio na yako au kuleta maisha bora kwa mtanzania?

Na pia unazungumziaje kauli mbiu ya kilimo kwanza? Unafikiri itaweza kuinua hali ya maisha ya mkulima mdogo?

J

No comments: