Saturday, July 5, 2014

TAMASHA LA JINSIA LA TATU NGAZI YA WILAYA LAFANA TARIMEU

UMATI WA WANANCHI WA TARIME WALIOFURIKA KWENYE TAMASHA LA TGNP TARIME

Mzee wa mila John Ryobi akicheza ngoma kwa hisia kali

ngoma ya Ritungu ilipokolea hakuna anayejitambua tena

mamia ya wanawake na wanaume wakiwemo watoto walifurika kusheherekea mafanikio ya harakati za ukombozi wa Mwanamke na kupinga ukatili dhidi ya wanawake Tarime

Watoto wakicheza kwa hisia ngoma maarufu kwa kabila la wakuria "Ritungu"



watoto wa kike walitumia ipasavyo fursa na nafasi iliyopatikana kupaaza sauti zao kukataa ukeketaji hapa wanatoa ngonjera ya kupinga ukeketaji

"sisi wasichana wa kisasa hatutaki kukeketwa" ndivyo walivyokuwa wakiimba wasichana hawa wa kijiji cha Ng'ereng'ere kata ya Nyamaraaga Tarime

wasichana wakiendelea na kukataa kukeketwa

Mgeni rasmi Afisa Tawala wa Wilaya ya Tarime Baraka Nyamsende akiingia uwanjani na kulakiwa na mamia ya washiriki wa kongamano kwa nuchezewa ngoma ya Ritungu


kampeni ya kupinga ukeketaji na ukatili wa kijinsia kwa wanawake Tarime iliyoongozwa na TGNP ilitawaliwa na kila aina ya Burudani


No comments: