Thursday, August 7, 2014

Mdahalo wa Katiba uliofanyika TGNP Mabibo wafana

Mwanaharakati wa siku nyingi na Mwenyekiti wa Umoja wa NGOs Hamphrey Polepole akizungumza kwenye Mkutano wa Katiba uliofanyika TGNP Mabibo
Hamphrey akizungumza

Mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya Jinsia Gemma Akilimali akizungumzia haki ya wanawake kupata ushiriki wa kutosha

No comments: