Tuesday, September 4, 2012

SEMINA: Katiba na Mtazamo wa Vijana Juu ya Huduma za Jamii, Ushiriki Katika Jamii na Upiganiaji Haki Zao: Matokeo ya utafiti wa TAMASHA



SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

 UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII 

Richard Mabala na timu ya TAMASHA  WATAWASILISHA

MADA  Katiba na Mtazamo wa Vijana Juu ya Huduma za Jamii, Ushiriki Katika Jamii na Upiganiaji Haki Zao: Matokeo ya utafiti wa TAMASHA

Lini: Jumatano Tarehe 5/9//2012

Muda: Saa 09:00 Alasiri – 11:00 Jioni

MAHALI:  Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni  


WOTE MNAKARIBISHWA

No comments: