Saturday, July 5, 2014

TAMASHA LA JINSIA LA TATU NGAZI YA WILAYA LA TGNP TARIME LAENDELEA

www.tgnp.org
Mwanachama wa TGNP Mtandao Maimuna Kanyamala ambaye pia ni mwanzilishi wa shirika la KIVULINI la Mwanza akitoa mada juu ya madhara ya ukeketaji na hali halisi ya ukeketaji nchini na Tarime kwa ujumla

Viongozi wa serikali waliohudhuria wakitembelea maonesho ya bidhaa za wanawake


wasichana walioshiriki wakifuatilia kw aumakini mada zilizokuwa zikitolewa na watoa mada hawapo pichani

watoto wakifuatilia mada

washiriki wanaotoka moja ya kikundi cha kijamii kinacho unda kituo cha taarifa na maarifa Nyamaraga ambao walishiriki kikamiliufu kuandaa tamasha hili

 washiriki wakitoa mrejesho wa makundi yaliyoshiriki warsha mbalimbali zilizoendeshwa siku  ya pili na ya tatu ya tamasha hilo

No comments: